Wednesday, July 15, 2015

Harusi ya Bwana Frank Wambura na Bi Eva iliyofanyika Dar es Salaam


Bwana na Bibi Harusi katika nyuso za furaha si wengine bali ni Ndg Frank Wambura na Bi Eva. Harusi iliyofungwa katika kanisa na ST PETER Osterbay jijini Dar es Salaam na baadae katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Kadinali Rugambwa uliopo katika Kanisa hilo.


Bwana na Bibi Harusi katika nyuso za furaha si wengine bali ni Ndg Frank Wambura na Bi Eva. Harusi iliyofungwa katika kanisa na ST PETER Osterbay jijini Dar es Salaam

 Mmoja wa washehereshaji waliopata nafasi katika usiku huo maalumu kwa bwana Frank na Mkewe Eva.


 Ndugu wa Bibi harusi wakifurahia jambo



 Baadhi ya waalikwa katika sherehe hiyo

 Bwana na Bibi Harusi wakiwa pamoja na wasimamizi wa ndoa yao
 Wakati wa zawadi umewadia
 Baba wa Bwana harusi akitoa zawadi kwa vijana wao wapendwa

Friday, July 10, 2015

Sherehe ya Kumuaga Tumpale John Mwaisango



Tumpale John Mwaisango(kulia) Bi. Harusi mtarajiwa akiwa pamoja na Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Daniel Shipela (kushoto) katika nyuso za Furaha wakati wa sherehe za kumuaga .
Hivi ndivyo ukumbi ilivyokuwa
Bibi Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akiwa anaingia ukumbini 
Bi Harusi mtarajiwa Tumpale John Mwaisango akimpa zawadi Mume wake Mtarajiwa Jeofrey Shipela wa kwanza kulia ni mpambe wa Bwana harusi mtarajiwa Venance Matinya
 Bi. Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango (kushoto) Akikata keki kulia ni Mpambe wake Monica
 Bi. Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango (kushoto) Akimlisha keki Mpambe wake Monica
Baba Mdogo wa Tumpale John Mwaisango akitoa neno kwa Binti yake na neno la Shukurani
Daniel Shipela (Kushoto) Baba Mzazi wa Bwana Harusi Mtarajiwa Jeofrey Shipela na Mama Mkubwa wake Elizabeth Njeje (kulia) wakitambulishwa
Mbele kwa Mbwembwe za aina yake na kwa umahili Mkubwa Bwana Charles Mwaipopo akifungua Shampeni , wakati wa Sherehe hiyo
Bibi Harusi Mtarajiwa akimrisha Chakula bwana Harusi Mtarajiwa 
Kutoka kulia ni Fredy Anthony Njeje, Grace Mwasote na Njuguna Karanja Marafiki wakubwa wa Joseph Mwaisango wakiwa katika Sherehe 
Baba Mchungaji ambaye ni Baba yake Mdogo wa Tumpale akimpa Mkono wa Pongezi 
Mbele ni Baadhi ya kaka zake na Bibi Harusi Mtarajiwa wamewakajeee...
Joseph Mwaisango kaka Mkubwa wa Tumpale John Mwaisango akimkabidhi zawadi mdogo wake Bibi Harusi Mtarajiwa , Fedha ambazo zitamsaidia ambapo anaenda kuanza Maisha na kumuaga rasmi.
Baadhi ya watu walikuwepo katika Sherehe hiyo
Huyo anaondoka baada ya kumaliza Sherehe
Bibi Harusi Mtarajiwa Tumpale John Mwaisango kuelekea katika Sendoff yake aliona bora asherekee pia na watoto yatima na waliokuwa wanaishi katika mazingira magumu cha Nuru hapa akiwapa zawadi
Baadhi ya Vitu ambavyo alipeleka katika kituo hicho
 Huko Nyumbani pia kulikuwa na Sherehe ya kumuaga Binti Tumpale Mwaisango, Hapa Baba Mdogo akitoa Neno la Shukurani
 Sherehe ikiendelea Nyumbani



SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...