Sunday, August 30, 2015

UZINDUZI WA KIPINDI CHA MASHARIKI MAX

Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm akitoa hotuba ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times katika nchi za Afrika Mashariki wakati wa hafla ya uzinduzi huo  jijini Dar es salaam

Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao akimkaribisha Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm wakati wa hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachokuwa kinarushwa na Televisheni ya Star Times

Mtangazaji wa kipindi cha Mashariki Max kitakachorushwa kupitia Televisheni ya Star Times Jokate Mwegelo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Star Times Group kutoka Beijing China Michael Dearharm (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi huo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao

Mkurugenzi wa Idara ya Habari kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Assah Mwambene (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Star Times Group nchini Langtang Liao (wa tatu kulia) wakifuatilia uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachorushwa kupitia Televisheni ya Star Times wakati wa uzinduzi wa kipindi hicho jijini Dar es salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana

Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachorushwa kupitia Televisheni ya Star Times

Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachorushwa kupitia Televisheni ya Star Times

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...