Sunday, October 5, 2014

Harusi ya James Mwangwa na Mary Kimbi


Bwana Harusi James W. Mwangwa na Bi. Harusi Mary C. Kimbi wakiwa katika sherehe ya harusi yao iliyofanyika Oktoba 4, 2014 katika Ukumbi wa 'Mwenge Social  Hall'- Mwenge. Ibada ya Harusi yao ilifanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Makuburi jijini Dar es Salaam. 
Maharusi Bw. James W. Mwangwa na mkewe Bi. Mary C. Kimbi wakiwa katika picha na baadhi ya ndugu wa karibu.
Meza ya wazazi wa Bi. Harusi Mary C. Kimbi wakifuatilia matukio katika sherehe hiyo.
Bwana Harusi James W. Mwangwa (kulia) akimwangalia babayake akiandaa ndafu kwa ajili ya kulishana maharusi na wazazi wa maharusi. 
Meza ya wazazi na ndugu wa karibu wa biharusi Mary C. Kimbi. 
Bi. Harusi Mary C. Kimbi (katikati) akimlisha kipande cha ndafu mamamkwe. Kushoto ni mumewe akiwa na babayake wakishuhudia tukio hilo. 
Wapambe wa maharusi wakiwa katika pozi ukumbini. 
Burudani ukumbini....!
Ndugu na jamaa wa karibu wakikabidhi zawadi zao kwa maharusi wakati wa pongezi.
Zawadi kwa maharusi.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa ukumbini.
Ndugu jamaa na marafiki wakifuatilia matukio katika hafla hiyo.
Ndugu jamaa na marafiki wakifuatilia matukio katika hafla hiyo.
Ndugu jamaa na marafiki wakifuatilia matukio katika hafla hiyo.
Makundi mbalimbali ya Ndugu jamaa na marafiki yakipata picha mara baada ya kutoa zawadi zao kwa maharusi.
Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Oscar Munishi akimsikiliza MC wa shughuli hiyo (aliyeshika kipaza sauti) alipokuwa akitoa utaratibu ukumbini. 
Mama wa bwana harusi akizawadiwa na ndugu jamaa na marafiki ukumbini.
Ndugu wa karibu wa bwana harusi.
Wazazi wa bwana harusi wakizawadiwa na ndugu jamaa na marafiki ukumbini.
Shughuli ikiendeles...!
Kamati ya maandalizi ya sherehe hiyo ikicheza na maharusi wao mara baada ya kutoa zawadi.
Wageni waalikwa, ndugu, jamaa na marafiki wakiserebuka ukumbini.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...