Mmoja wa viongozi waandamizi wa mtandao wa Thehabari.com, Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni. Pichani wakiwa katika mapozi ya picha kwenye viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Bibi harusi Mwinga Mungwe akiwa katika picha ya kumbukumbu na mamae mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.

Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakipiga picha na baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki baada ya kufunga ndoa yao katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.
Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakiwa katika picha na babu wa bibi harusi.
Bibi harusi Mwinga Mungwe akiwa katika picha ya kumbukumbu na mamae mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.

Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakiwa katika picha ya ukumbusho na ndugu wa pande zote.
Bi. harusi, Mwinga Mungwe
Baadhi ya ndugu wa karibu wa bwana harusi
Bw. Philipo Muze akiwa katika pozi